Wednesday, August 26, 2015

SASA TUMEMUELEWA MKAPA KUITA VIONGOZI WA UKAWA WAPUMBAVU NA MALOFAA KUMBE WAPUMBAVU NA MALOFA NI SISI TULIO IWACHA CCM KUTAWALA KWA MIAKA 50 BILA YA MAENDELEO YOYOTE

Kumbeeeeeee….!!!
sasa nimemfahamu Bwana Ben Mkapa alivyowaita wanaotaka mabadiliko kuwa “wapumbavu” na “malofa”,
1. Mkapa aliondoka dola inauzwa 650, leo hii anatakiwa amnadi Magufuli dola ikiwa inauzwa 2000+, si upumbavu huo na ulofa...???
2. Mkapa aliondoka akaacha sarafu za shilingi 5, 10, 20, leo anamnadi Magufuli hizo hazipo tena kuna sarafu ya jero (500), si upumbavu na ulofa huo...???
3. Mkapa aliondoka nauli ya dala dala Tsh. 250, leo anamnadi Magufuli nauli Tsh.450, si upumbavu na ulofa huo...???
4. Mkapa aliondoka kilo ya sukari ni Tsh. 400 tu, leo anamnadi Magufuli kilo ya sukari Tsh.2000, si upumbavu na ulofa huo...???
5. Mkapa aliondoka fungu la nyanya au tomato ni Tsh. 100 tu, leo anamnadai Magufuli fungu la nyanya ni Tsh. 500-1000, si upumbavu huo na ulofa...???
6. Mkapa anaondoka kilo ya mchele Tsh. 800 tu, leo anamnadi Magufuli kilo ya mchele Tsh. 1800, si upumbavu na ulofa huo???KIBANDA MAITI NCHINI ZANZIBAR MKUTANO WA CCMsasa kama tumevumilia hali hii kwa miaka 10 ya JK, leo vipi tukatae mitano mengine ya Magufuli...??? kama huo si upumbavu na ulofa ni nini...??? kwanini tusikatae tokea mitano yapili ya JK...???Mipumbavu nyie na Milofa!!! MKUTANO WA CCM JANGANI JIJINI DAR ES SALAAM NCHINI TANGANYIKA.Wenzenu Marekani Uwengereza au nchi za Ulaya hawakai na chama miaka 20 hata kiwe kizuri vipi, wao Matajiri wana kila kitu nchi zao nzuri ile mbaya zimejengwa zikajengeka, nyinyi mnakaa na chama miaka 50 umasikini upo pale pale, bado chama hicho kinakuja na ilani na ahadi....???pumbaaaaaaav na malofaaa
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment