



KUKA UTUPU NA KUUZA MWILI ILI KUPATA PESA

MAITI HIYO INAKUJA NA WAO PALE JUU POMBE NDIO ILIYO MIKONONI MWAU

SISI TUNA ZAMA WAO WANACHEKA KWA FURAHA KABISA








WANASEMA ATI WATANGANYIKA NI DUNGU ZETU KWELI LAKINIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
MOJA KTK MWENYE KUWAKUSANYIA PESA HAWA WAFANYE LAANA ZAO NA
KICHAPO CHA MWENYEZI MUNGU KITATURUDIYA WENYE WAZENJI AMKENI


WAZENJI KAMA HATUJA AMKAA HATUAMKI TENA
SISI MSIBA WAO FURAHA NA NDIO MAMBO YAO HAYA TOKA 1964 WALIPOTUPINDUWA

MAITI ZA WATOTO WACHANGA HIZO HAPO NA TANGANYIKA KUNA MISS TANZANIA MKOLONI MWEUSI HABARI HANA ANAKULA RAHA ZAKE TU.

kwa kuzama na meli na habari wamezisikia ila hawakuweza kukatisha maana haya ndio muhimu zaidi kuliko
roho zilizo poteya ndani ya meli iliyo zama WANAO DAI TANGANYIKA NI DUNGU ZETU ONENI.
Tunaanza kampeni ya kuwa name and shame wahusika wa Miss Tanzania na Sponsor wao Vodacom. Wasusiwe kwa uovu wao kwa Wazanzibari. Huyu Hashim azuilie kwa ban kutozuru visiwani mwetu.Director na wahusika wa TBC1 wawajibishwe kwa kutothamini maisha ya wanyonge Zanzibar.

No comments:
Post a Comment