Wednesday, December 16, 2015

WANAUITA MGOGORO WA UCHAGUZI WA NCHI YA ZANZIBAR IMEKUWA NDIO BIASHARA KWA TV ZA NCHI YA TANGANYIKA NA KUTUCHEKA WAZANZIBARI KUWA NCHINI KWAO KUKO POA SISI TUNAENDELEA NA MIGOGORO


NCHINI TANGANYIKA PROF LIPUMBA NA KITILA WAZUNGUMZIA UCHAGUZI WA NCHI YA ZANZIBAR.  
WANAUITA MGOGORO WA UCHAGUZI WA NCHI YA ZANZIBAR WAKATI HAKUNA MGOGORO NA SOTE TUNAJUWA KUWA CCM IMESHINDU UCHAGUZI NA SHEIN WAO HAWATAKI KUKABITHI MADARAKA BASI LAKINI HAKUNA MGOGORO WOWOTE.

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment