Wednesday, July 29, 2015

VIDEO-WATANGANYIKA WAAMKA KUTOKA KATIKA USINGIZI MZITO WALIO TIWA NA CCM WAUWAJI,MAFISADI,WAROHO,MADARAKA,WALIO WATIA UMASIKINA UFUKARA MKUBWA WANANCHI NA WAO KUJAZA MATUMBO YAO.

Edward Lowassa akabidhiwa kadi ya chadema

Waziri mkuu mstaafu Mh Lowassa atangaza kuondoka CCM na kujiunga rasmi Chadema.


Mzee Kingunge afichua mchakato wa kupata mgombea urais CCM.

Chadema yaahidi kutangaza mgombea urais wa Ukawa wakati muafaka utakapowadia.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment