Huyu ni Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanganyika BOT (Tawi la Zanzibar Bwana Joseph Mhando)swali la kujiuliza ilikuwaje tawi la zanzibar la Bank kuu BOT mkurugenzi awe ni mtanganyika..? asiwe mzanzibari tena zaidi basi ni JOSEPH MHANDO if you know what i mean my friends je hapa kama sio ukoloni ni kitu ngani hivi zanzibar nzima hakuna mtu wa kuwa mkurugenzi wa Benk Kuu ya BOT kutoka zanzibar hivi hakuna mtu anaye juwa kazi hii mpaka watueke hili JOSEPH MAHANDO kama ya wagiriama kule kenya..? akiwasilisha mchango wa Shilingi 10,000,000/- kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwa ajili ya mfuko wa Maafa hapo Baraza la Wawakilishi Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.ati mfuko wa maafa hizi pesa ni za wazanzibari kisha sasa wanatukanga kwa mafuta yetu wenyewe.pili hazifiki hizi maadamu hili DULI BALOZI SEIF ALI IDDI ndilo lililo kabithiwa hizi hazifiki ngooooo
MIAKA 50 YA UHURU WA NCHI YA TANGANYIKA NA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA NCHI YA ZANIBAR MAJI 20% UMEME 20% ELIMU 0% HOSPITALI 1% MADAWA 0% MLO MOJA KWA SIKU TAFAKARI SANA.CCM MNASHANGA LOWASSA KUPANDA DALADALA HAMSHANGAI TWIGA KUPANDA NDEGE.VIONGOZI WA CUF WALIOSHINDA KATIKA UCHAGUZI 2015 WAKIONYESHA SHAHADA ZAO ZA USHINDI ZILIZO SAINIWA NA KUPIGWAMUHURI NA ZEC CCM HAYA HAMUNA,AIBU HAMUINI,FEDHEHA HAMUHISI,UBINADAMU UMEWATUKA,M.MUNGU HAMUMUOGOPI HEBU JIULIZENI NYINYI VIUMBE WA AINA GANI...?????
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment