Tuesday, May 29, 2012

WAZANZIBAR WAPINGWA MABOMU WATANGANYIKA WAFANYA LAANA NA UCHAFU HATUTAKI MUUNGANO













FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA IMEFANIKIWA KUZINASA PICHA HIZI ZA UCHAFU UNAO FANYWA NA WATOTO WA VIONGOZI WA SEREKALI YA TANGANYIKA KTK PART ZAO NA HUKU RAI KIBAO WAKITESEKA NA NJAA KALI NA UMASIKI MKUBWA JE BADO TU WATANGANYIKA HAMUJAELEWA..?
WATOTO wa Vigogo Waliyojulikana na muandishi wetu na kukimbia na kubahatika kumpata moja kwa jina la Peter Rupia wamefanya pati ya aina yake ambapo waliopata taarifa hiyo wameiita ya kufuru, kwani baadhi ya waalikwa walivua nguo na kubaki kama walivyozaliwa.
Chanzo chetu cha habari kimedai kuwa, pati hiyo ya aina yake ilifanyika katika nyumba yake ya kifahari iliyopo Mbezi Beach, ambapo wasichana walialikwa na kunywa pombe baadaye wakapigwa picha za utupu.wakati kuna rai kibao hapa tanganyika hawana hata pesa ya mkate wa asubuhi na chai ya rangi ila watoto wa wakubwa wanaponda mali kisha wanasema nchi ni masikini.
PICHA CHAFU
BLOG hii ya FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI ilifanikiwa kupata picha zilizopigwa katika pati hiyo na nyingi zinaonesha watu wakifanya mapenzi ama mwanaume na mwanamke au mwanamke na mwanamke mwaume moja wanawake wawili.
Baadhi ya picha zilizopigwa katika jumba hilo zinaonesha maadili yasiyofaa kuandikwa blog ila inabidi tuonyeshe ili rai wema wajuwe pesa za nchi yao zinakwenda wapi na nani anazivuruga huku baadhi ya wasichana wakiwa na nguo za ndani tu au kufunga mataulo viunoni, matiti yakiwa nje.
Picha hizo ambazo sasa zimezagaa jijini, zinaonesha wavulana wakiwa na wasichana ndani ya bwawa la kuogelea huku wengine wakichezewa kimahaba.
HAKUNA MKE, MTOTO NDANI
Uchunguzi zaidi umebaini kuwa, wakati pati hiyo inafanyika katika jumba hilo hakukuwa na mke wala mtoto, hivyo baadhi ya washiriki kuiita pati ya X.
MGAWO WA FEDHA
Imedaiwa kuwa ndani ya jumba hilo sherehe kama hizo zimekuwa zikifanyika mara kwa mara na waalikwa huambiwa kuwa hiyo ni siku ya kula bata.
Aidha, imeelezwa kuwa washiriki wote hasa wanawake kila mmoja hupewa shilingi 100,000 baada ya sherehe kukamilika nahao madada kuliwa bata ndio tunzo yao ya kuliwa bata ndio 100,000  haikujulikana mara moja picha hizo chafu hupelekwa wapi baada ya shughuli.
DANSI WAKIWA WATUPU
Mwandishi wetu aliyefuatilia taarifa hizi alifanikiwa kunasa rundo la picha ambazo ni mbaya zinazowaonesha baadhi ya waalikwa wakisakata dansi wakiwa watupu na hukiwakichomekwa mikoko kwenye bata wakati wakisakata dansi sio dansi tu unaliwabata kabisa nakupigwa picha unavyosakata dansi na kuliwa bata wakati moja.
Aidha, mtu mmoja anayetajwa kuwa ni mshereheshaji (MC), anaonekana akisakata dansi na msichana aliyekuwa amevaa nusu uchi.
MAJIRANI
Baadhi ya majirani waliozungumza na mwandishi wetu wa free zanzibar people from mkoloni mweusi kwa sharti la kutoandikwa majina yao ktk blog hii walikiri kufahamu kuwa katika jumba hilo huwa kunakuwa na pati za kufuru.
“Vijana hapa wanasema ni sherehe zinazohusisha wasichana maalum tu lakini wengine wanasema mwanao akialikwa humo, amekwisha, hawatufafanulii,” alisema mama mmoja katika mtaa huo.
BLOG hii pia ilifanikiwa kumhoji mmoja wa washiriki aitwaye Salma na alikiri kupigwa picha hizo kwa lengo la kulipwa fedha.
“Nilipigwa picha za uchi wa mnyama kama nilivyo zaliwa lakini cha ajabu mpaka leo sijalipwa fedha yoyote,” alisema Salma.
MWENYE NYUMBA PETER
Kwa upande wake mtu anayedaiwa kuwa ndiye mwenye nyumba, Peter alipohojiwa na mwandishi wetu alikiri kutambua picha hizo lakini alishangazwa na jinsi zilivyosambaa na kufika chumba cha habari na polisi huku akimtaja rafiki yake aitwaye Sammy kwamba ndiye mhusika mkuu wa upigaji picha hizo.
“Ni kweli nimekuwa nikiandaa pati mara kwa mara. Sammy ndiye aliyepiga picha hizo na alikuja na wasichana alifunguka Peter.
WAZANZIBAR TUNASEMA HATUTAKI MUUNGANO NA WATANGANYIKA MOJA KTK MAMBO YANAYOTUFANYA TUKATAE MUUNGANO NI HAYA KUWA WATU KAMA WANYAMA PORI HAKUNA HESHIMA WALA MADILI

No comments:

Post a Comment