Mzee huyu ambaye ni miongoni mwa wananchi waliochangia katika mjadala wa kukusanya maoni juu ya uundwaji wa kamisheni ya ukusanyaji maoni ya katiba mpya ya Tanzania akilia kwa uchungu akisema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa ikiionea Zanzibar kwa miaka kadhaa bila ya kuw ana huruma jambo ambalo wazanzibari wanaishi kama mayatima katika nchi yao kutokana na maonevu wayapatayo ambapo aliangua kilio katika ukumbi huo wakati akitoa maoni yake
MIAKA 50 YA UHURU WA NCHI YA TANGANYIKA NA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA NCHI YA ZANIBAR MAJI 20% UMEME 20% ELIMU 0% HOSPITALI 1% MADAWA 0% MLO MOJA KWA SIKU TAFAKARI SANA.CCM MNASHANGA LOWASSA KUPANDA DALADALA HAMSHANGAI TWIGA KUPANDA NDEGE.VIONGOZI WA CUF WALIOSHINDA KATIKA UCHAGUZI 2015 WAKIONYESHA SHAHADA ZAO ZA USHINDI ZILIZO SAINIWA NA KUPIGWAMUHURI NA ZEC CCM HAYA HAMUNA,AIBU HAMUINI,FEDHEHA HAMUHISI,UBINADAMU UMEWATUKA,M.MUNGU HAMUMUOGOPI HEBU JIULIZENI NYINYI VIUMBE WA AINA GANI...?????
No comments:
Post a Comment