FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI

MIAKA 50 YA UHURU WA NCHI YA TANGANYIKA NA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA NCHI YA ZANIBAR MAJI 20% UMEME 20% ELIMU 0% HOSPITALI 1% MADAWA 0% MLO MOJA KWA SIKU TAFAKARI SANA.CCM MNASHANGA LOWASSA KUPANDA DALADALA HAMSHANGAI TWIGA KUPANDA NDEGE.VIONGOZI WA CUF WALIOSHINDA KATIKA UCHAGUZI 2015 WAKIONYESHA SHAHADA ZAO ZA USHINDI ZILIZO SAINIWA NA KUPIGWAMUHURI NA ZEC CCM HAYA HAMUNA,AIBU HAMUINI,FEDHEHA HAMUHISI,UBINADAMU UMEWATUKA,M.MUNGU HAMUMUOGOPI HEBU JIULIZENI NYINYI VIUMBE WA AINA GANI...?????

Monday, April 25, 2011

WAWAKILISHI WANAFIKI WA ZANZIBAR WAONEKANA


 



Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi Mahmoud Mohammed Mussa ambaye pia ni Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) alikuwa akiendesha kikao cha baraza hilo leo alikuwa na wakati mgumu kidogo baada ya kuendesha kikao ambacho kilikuwa moto baada ya pande mbili kuvutana upande upande wa serikali na upande wa wawakilishi.
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi leo waliingia katika mjadala mkali na wa kuvutana kati ya pande mbili moja upande wa serikali na upande wa pili ni wawakilishi kutoka pande zote mbili (backbenchers) kuhusu hoja ya kutaka iundwe Kamati Teule kuchunguza ufisadi kwenye Baraza la Manispaa la Zanzibar.
Hoja ilikuwa kuchunguza tuhuma za ubadhifu mkubwa na rushwa katika Manispaa huku Waziri na baadhi ya maafisa wakitajwa kuchukua 10% lakini Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Dk Mwinyihaji Makame Mwadini alipinga vikali kuhusika na tuhuma hizo na kumtaka Mwakilishi Makame Mshimba Mbarouk wa Jimbo la Kitope (CCM) aliyetoa tuhuma hizo aombe radhi ndani ya baraza hilo lakini Mwakilishi huyo alikataa kuomba radhi kabisa na kushikilia msimamo wake kwamba ikiwa tuhuma sio za kwlei basi kamati teule ndio itasafisha tuhuma hizo na sio kuombwa radhi Waziri.
Hatimae baraza la wawakilishi chini ya Mwenyekiti wake Mahamoud Mohammed Mussa akaamua kupigwe kura ya kuulizwa kama wajumbe wanakubaliana na kuundwa kamati teule bau laa walipoulizwa wajumbe jumla ya wajumbe 29 walitaka uindwe kamati teule na wajumbe 28 walikataa isiundwe.
Lakini baadae alisimama Waziri wa Katiba na Sheria, Abubakar Khamis Bakari na Mwakilishi wa Jimbo la Mgogoni Kisiwani Pemba (CUF) akawaomba wajumbe watumie utaratibu wa kura ya kuulizwa mjumbe mmoja mmoja juu ya kuundwa kamati teule na ndipo hapo matokeo ya kura yakatofautiana kutokana na wajumbe wengine wasiokuwa na msimamo wakaogopa ndipo kura 39 walitaka isiundwe kamati teule na waliotaka iundwe ni wajumbe 20 na hivyo suala la kutokuundwa kamati teule likazimika mara moja.
Wajumbe wa baraza la wawakilishi walisimamia hoja yao ya kutaka kuundwa kwa kamati teule ili kuisafisha serikali na kutafuta uoza na tuhuma zilizoelekezwa kwa watendaji juu ya kuwepo uharififu wa fedha kutoka kwa makampuni yalopewa tenda ya kuweka matangazo barabarani ambapo jumla ya makampuni matatu ndio yaliopewa tenda hiyo.
Kwa mujibu wa Waziri Makame anasema kimisingi kuna kosa limetendeka kutoka kwa maafisa wa Manispaa lakini linatokana na hayo makampuni matatu ambayo yanashindana na kila mmoja ametaka kumshitaki mwenzake kwani wamepewa kupashika matangazo barabarani ikiwemo yale ya kampuni za simu za mkononi za zanzitel na tigo lakini kwa mujibu wa Waziri anasema haoni kama huna sababu ya kuunda kamati kuchunguza suala hilo.

HIYO KAMATI NA IUNDWE NA WATAKAO KATA  NDIO WANAFIKI NA NDIO WEZE. KWANZA WAJIUZULU KWA LAZIMA KISHA WASHTAKIWE WOTE NA WAELEZE MALI WALIZO NAZO WAMEZIPATA VIPI.  MAANA MISHAHARA YAO SIYO INAYO WAFANYA WAKAJIJENGEYA MAJUMBA KUMI KUMI NA MAGARI YA KIFAHARI NA KUWAPELEKA WATOTO WAO NJE KUSOMA NA HUKU WAKIWAWACHA WANANCHI WA ZANZIBAR WAKILIYA NA UKAMEE. ULIYO SABABISHWA NA HAO MAWAZIRI WANAFIKI.
Posted by FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI at 9:59 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

trendcounter - free country flag counter

Total Pageviews

About Me

My photo
FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI
View my complete profile

Followers

Blog Archive

  • ►  2020 (66)
    • ►  March (6)
    • ►  February (23)
    • ►  January (37)
  • ►  2019 (18)
    • ►  December (7)
    • ►  July (11)
  • ►  2017 (9)
    • ►  September (2)
    • ►  February (1)
    • ►  January (6)
  • ►  2016 (310)
    • ►  December (8)
    • ►  November (25)
    • ►  October (2)
    • ►  September (1)
    • ►  August (24)
    • ►  July (53)
    • ►  June (49)
    • ►  May (28)
    • ►  April (37)
    • ►  March (59)
    • ►  February (16)
    • ►  January (8)
  • ►  2015 (625)
    • ►  December (29)
    • ►  November (69)
    • ►  October (113)
    • ►  September (81)
    • ►  August (59)
    • ►  July (44)
    • ►  June (47)
    • ►  May (43)
    • ►  April (39)
    • ►  March (55)
    • ►  February (27)
    • ►  January (19)
  • ►  2014 (209)
    • ►  December (22)
    • ►  November (16)
    • ►  October (29)
    • ►  September (15)
    • ►  August (23)
    • ►  July (18)
    • ►  June (20)
    • ►  May (16)
    • ►  April (8)
    • ►  March (5)
    • ►  February (11)
    • ►  January (26)
  • ►  2013 (380)
    • ►  December (27)
    • ►  November (15)
    • ►  October (14)
    • ►  September (20)
    • ►  August (43)
    • ►  July (42)
    • ►  June (42)
    • ►  May (25)
    • ►  April (45)
    • ►  March (43)
    • ►  February (38)
    • ►  January (26)
  • ►  2012 (418)
    • ►  December (27)
    • ►  November (35)
    • ►  October (50)
    • ►  September (30)
    • ►  August (64)
    • ►  July (59)
    • ►  June (53)
    • ►  May (41)
    • ►  April (27)
    • ►  March (6)
    • ►  February (14)
    • ►  January (12)
  • ▼  2011 (301)
    • ►  December (7)
    • ►  November (12)
    • ►  October (2)
    • ►  September (9)
    • ►  August (27)
    • ►  July (73)
    • ►  June (62)
    • ►  May (62)
    • ▼  April (47)
      • MZEE KARUME ALIYAKIMBIYA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
      • RAISI WA ZANZIBAR AKIWA HUKO NCHINI UTURUKI KTK ZI...
      • HUYU NDIYE PINDA ANAYE WATISHA WABUNGE WA Z''BAR N...
      • VIONGOZI WA ZANZIBAR WAJILIYA MILIONI 7OO KUMHAKIK...
      • RAZA ASEMA ASIYETAKA MUUNGANO SIO MWANA HALALI WA ...
      • ZANZIBAR HISTORICAL EVENT
      • WAKINA MAMA WAKITOWA MCHANGO WAO KWA WANA WA KIJIJ...
      • TUNATAKA UWAZI WA KUHUSU MAJENGO YETU YA MJI MKONG...
      • MUUNGANO : FIKRA ZA KUUVUNJA ZAPINGWA
      • UDUGU NA MWANA-NYIKAA
      • DUUUUH KUMBE HATA NYERERE ALIJUWA KUWA IKO SIKU WA...
      • JE HIZI NDIO HAKI ZA BINADAMU??..JE HIVI NDIO ASKA...
      • HIZI NI KUMBUKUMBU ZA ALI SHETANI AMBAYE ALIKUWA N...
      • WANASIASA WASHAIGIWA NA WASI WASI THAIDI YA MUUNGANO
      • WANANCHI WA ZANZIBAR WASUSIA SHEREHE ZA MUUNGANO I...
      • WANA NCHI WA ZANZIBAR WAGOMA KUUZWA KWA MAJENGO YA...
      • WATU WENYE UCHUNGU NA ZANZIBAR WANAFUATA SHERI YA ...
      • ANGALIYA MATESO YALIYO YAPATA KISIWA CHA ZANZIBAR...
      • NCHI ZILIZO VUNJA MUUNGANO BAADA YAKUJUWA HAUNA MA...
      • HATUTAKI TENA MUUNGANOOOOOOOO
      • VIONGOZI WETU WA Z''BAR WANAITHALILISHA NCHI KUTOK...
      • WAZNZ WASUSIA SHEREHE ZA MUUNGANO,WAWACHIA VIONGOZ...
      • JE JOHN OKELLO NI SHUJAA ALIYEWAKOMBOWA WAZANZIBAR...
      • HII NDIO COBINET YA SHAMTE ILIYO PINDULIWA MWAKA 1964
      • MBONA LEO HAWAMTAJI FIELD MARSHALL JOHN OKELLO KTK...
      • NANI ALIYE PINDUWA SEREKALI YA KWANZA YA ZANZIBAR ...
      • NYERERE AKICHANGANYA MCHANGA WA TANGANYIKA NA ZANZ...
      • RAIS KIKWETE ABATIZWA NA AFUNGUA ALBUM YA KIGALATIA
      • MSIKILIZE SHEKH ANAVYO TOWA VITU KUHUSU MUUNGANO FEKI
      • WAWAKILISHI WANAFIKI WA ZANZIBAR WAONEKANA
      • ATI HII NI KWELI KUWA VIJANA WA ZANZIBAR HAWAWEZI...
      • TUTAISHITAKI SEREKALI YA ZANZIBAR
      • SMZ YAGOMA KUILIPA .............TANESCO
      • SHEREHE ZA MUUNGANO MARA HII NI HAPA
      • MUSIWE NA JAZBA
      • TULIUNGANA KWA KHIYARI
      • WAZANZIBAR HATUTAKI MUUNGANO NA WATANGANYIKA
      • VIONGOZI WA ZANZIBAR MUSIWASALITI WANCHI WA NCHI Y...
      • MUUNGANO HUU MWISHO CHUMBE
      • TUMECHOKA KUONEWA NA WATANGANYIKA
      • TUNAOMBA MADESKI YA KUKALIYA MAMA VODACOM
      • PIGA MPIRA
      • TUMEJIVUA GAMBA KWELI
      • HII NDIO RAMANI YA AFRIKA NA ZANZIBAR JE ZANZIBAR ...
      • ZANZIBAR ILIKUWA NDANI YA U.N. KABLA YA WATANGANYI...
      • ANASEMA ATI....SMZ hamjatutendea haki-Kanisa.... U...
      • JE HAWA NDIO VIJANA WA KIZANZIBAR WA KULILINDA TAI...
Simple theme. Powered by Blogger.