Machano alisema viongozi wa CCM wanaotetea serikali mbili kwa maelezo kuwa, mfumo huo ndio sera ya chama chao, wanapingana na viongozi wa serikali ya mapinduzi.“Ilani gani, wakati viongozi ndani ya serikali ya mapinduzi wanataka serikali tatu,” alisema Machano na kuongeza kuwa, CCM Zanzibar hawajui kwamba CCM bara nia yao ni serikali mbili, hata kama wanaumia kuibeba Zanzibar, lakini watafarijika kwa kuipotezea utaifa.Mbali na Waziri Mansour, Waziri wa Fedha, Omar Yusuf Mzee, akitoa ufafanuzi katika kikao cha Baraza la Wawakilishi juu ya uwakilishi wa Zanzibar katika taasisi za Muungano, alisema hakuna hata chombo kimoja ambacho bodi yake inaongozwa na Mzanzibari, ingawa Zanzibar ina wataalam wengi, akiwemo yeye.“Tatizo ni mfumo, kila moja, pamoja na wawakilishi tushiriki kuwahamasisha watu wetu kuboresha Katiba,” alisema Mzee.Juu ya mchango wa wananchi katika kudai haki ya Zanzibar katika Muungano, Machano aliwataka Wazanzibari kushiriki katika mchakato ujao wa kutafuta maoni yao juu ya rasimu ya mapitio ya Katiba mpya.
MIAKA 50 YA UHURU WA NCHI YA TANGANYIKA NA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA NCHI YA ZANIBAR MAJI 20% UMEME 20% ELIMU 0% HOSPITALI 1% MADAWA 0% MLO MOJA KWA SIKU TAFAKARI SANA.CCM MNASHANGA LOWASSA KUPANDA DALADALA HAMSHANGAI TWIGA KUPANDA NDEGE.VIONGOZI WA CUF WALIOSHINDA KATIKA UCHAGUZI 2015 WAKIONYESHA SHAHADA ZAO ZA USHINDI ZILIZO SAINIWA NA KUPIGWAMUHURI NA ZEC CCM HAYA HAMUNA,AIBU HAMUINI,FEDHEHA HAMUHISI,UBINADAMU UMEWATUKA,M.MUNGU HAMUMUOGOPI HEBU JIULIZENI NYINYI VIUMBE WA AINA GANI...?????
Monday, August 1, 2011
VIONGOZI WA CCM Z;BAR WANAOTETEA SEREKALI MBILI NI WATUMWA WA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA .
Machano alisema viongozi wa CCM wanaotetea serikali mbili kwa maelezo kuwa, mfumo huo ndio sera ya chama chao, wanapingana na viongozi wa serikali ya mapinduzi.“Ilani gani, wakati viongozi ndani ya serikali ya mapinduzi wanataka serikali tatu,” alisema Machano na kuongeza kuwa, CCM Zanzibar hawajui kwamba CCM bara nia yao ni serikali mbili, hata kama wanaumia kuibeba Zanzibar, lakini watafarijika kwa kuipotezea utaifa.Mbali na Waziri Mansour, Waziri wa Fedha, Omar Yusuf Mzee, akitoa ufafanuzi katika kikao cha Baraza la Wawakilishi juu ya uwakilishi wa Zanzibar katika taasisi za Muungano, alisema hakuna hata chombo kimoja ambacho bodi yake inaongozwa na Mzanzibari, ingawa Zanzibar ina wataalam wengi, akiwemo yeye.“Tatizo ni mfumo, kila moja, pamoja na wawakilishi tushiriki kuwahamasisha watu wetu kuboresha Katiba,” alisema Mzee.Juu ya mchango wa wananchi katika kudai haki ya Zanzibar katika Muungano, Machano aliwataka Wazanzibari kushiriki katika mchakato ujao wa kutafuta maoni yao juu ya rasimu ya mapitio ya Katiba mpya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment