Mazrui alisema yapo maeneo nyeti ya kiuchumi Zanzibar yana harufu ya rushwa ikiwemo bandari, viwanja vya ndege pamoja na masuala ya usafirishaji na kuagiziaji bidhaa kama vile vile karafuu.Alieleza kuwa kutokana na harufu hiyo, ndio maana maeneo hayo yana mkusanyiko mkubwa wa watendaji wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiwemo na viongozi wa serikali za mitaa.Hata hivyo, wajumbe hao walisema kipengele cha kutangaza mali kwa viongozi wa serikali pale wanapoingia na kutoka serikalini kina umuhimu wa kipekee katika kufanikisha vita dhidi ya rushwa.Akitoa ufafanuzi juu ya sheria hiyo, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Joseph Abdallah Meza, aliwataka viongozi kuondosha hofu juu ya uanzishwaji wa sheria hiyo kwa vile ina nia njema.Alisema lengo kubwa ni kutaka kujua uhalali wa mali zao wanazozichuma na hakuna sababu ya kujenga hofu kuhusu kutangaza mali.Mapema, akiwasilisha rasimu ya muswada huo, Waziri Kheir, amesema lengo la kuletwa sheria hiyo ni kudhibiti vitendo vya rushwa, matumizi mabaya kwa viongozi na kurejesha maadili ya watumishi wa umma.Rasimu ya sheria ya kuanzisha mamlaka ya kupambana na rushwa Zanzibar ilikwama mara tatu kuwasilishwa Baraza la Wawakilishi, baada ya Baraza la Mapinduzi kueleza kuwa muswada huo unahitaji kuzingatia uzoefu zaidi kwa nchi nyingine zenye sheria kama hizo.
MIAKA 50 YA UHURU WA NCHI YA TANGANYIKA NA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA NCHI YA ZANIBAR MAJI 20% UMEME 20% ELIMU 0% HOSPITALI 1% MADAWA 0% MLO MOJA KWA SIKU TAFAKARI SANA.CCM MNASHANGA LOWASSA KUPANDA DALADALA HAMSHANGAI TWIGA KUPANDA NDEGE.VIONGOZI WA CUF WALIOSHINDA KATIKA UCHAGUZI 2015 WAKIONYESHA SHAHADA ZAO ZA USHINDI ZILIZO SAINIWA NA KUPIGWAMUHURI NA ZEC CCM HAYA HAMUNA,AIBU HAMUINI,FEDHEHA HAMUHISI,UBINADAMU UMEWATUKA,M.MUNGU HAMUMUOGOPI HEBU JIULIZENI NYINYI VIUMBE WA AINA GANI...?????
Monday, August 8, 2011
ZANZIBAR SASA KUANZISHA TAASISI YA KUDHIBITI RUSHWA NCHINI Z;BAR
Mazrui alisema yapo maeneo nyeti ya kiuchumi Zanzibar yana harufu ya rushwa ikiwemo bandari, viwanja vya ndege pamoja na masuala ya usafirishaji na kuagiziaji bidhaa kama vile vile karafuu.Alieleza kuwa kutokana na harufu hiyo, ndio maana maeneo hayo yana mkusanyiko mkubwa wa watendaji wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiwemo na viongozi wa serikali za mitaa.Hata hivyo, wajumbe hao walisema kipengele cha kutangaza mali kwa viongozi wa serikali pale wanapoingia na kutoka serikalini kina umuhimu wa kipekee katika kufanikisha vita dhidi ya rushwa.Akitoa ufafanuzi juu ya sheria hiyo, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Joseph Abdallah Meza, aliwataka viongozi kuondosha hofu juu ya uanzishwaji wa sheria hiyo kwa vile ina nia njema.Alisema lengo kubwa ni kutaka kujua uhalali wa mali zao wanazozichuma na hakuna sababu ya kujenga hofu kuhusu kutangaza mali.Mapema, akiwasilisha rasimu ya muswada huo, Waziri Kheir, amesema lengo la kuletwa sheria hiyo ni kudhibiti vitendo vya rushwa, matumizi mabaya kwa viongozi na kurejesha maadili ya watumishi wa umma.Rasimu ya sheria ya kuanzisha mamlaka ya kupambana na rushwa Zanzibar ilikwama mara tatu kuwasilishwa Baraza la Wawakilishi, baada ya Baraza la Mapinduzi kueleza kuwa muswada huo unahitaji kuzingatia uzoefu zaidi kwa nchi nyingine zenye sheria kama hizo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment