Tuesday, July 23, 2013

PUMBAVU LIKI PUMBA BASI PUMBA NALO


Sambamba na hayo Salim Suleiman Ameir kutoka shehia ya Donge alisema Muundo wa serikali tatu si makubaliano ya Waasisi Abeid karume na Mwalimu Nyerere na kudai kuleta mfumo mpya ni kuvunja heshima yao.

MANENO YA HUYU MZEE NI KAMA HILI JOKA
“Tukiwa na Muungano wa shirikisho lazima kuwe na mkataba maalumu mmoja akiukiuka ndio Muungano ushavunjika uoo, kwa hiyo ni vyema tuendelee na mfumo wetu huu uliasisiwa na wazee wetu ili tupate radhi zao” alieleza Ameir.

No comments:

Post a Comment