Ni moja katika vizuka akitokea jijini Dar es salaam nchini Tanganyika kupokea maiti ya mume wake aliye kuwa ni moja katika wanajeshi saba waliouliwa Darfur nchini Sudan hapa ni kiwanja cha denge nchini Zanzibar huu msiba unatukumbusha dungu zetu walio pelekwa Uganda na kuliwa sisi Wazanzibar hatusomi.
Na huyu ni kizuka wapili na familia ya wanajeshi wa nchi yetu ya Zanzibar waliouliwa Darfur nchini Sudan
DR Shein akisaini katika maziko ya wanjeshi wawili wa Kizanzibari waliouliwa Durfur nchini Sudan
majeneza ya wanajeshi wa Kizanzibari waliouliwa Darfur nchini Sudan wakisomewa hitma na duwa kabla ya kuswaliwa swalati maiti nchini Zanzibar
Makamo wa raisi nchini Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad akisoma hitma ya wanajeshi waliouliwa Darfur nchini Sudan
Hii ni swalati maiti viongozi na rai wa Zanzibar wakiwaswalia wanajeshi wawili waliouliwa Darfur nchini Sudan.
Wanajeshi wakifyatuwa risasi agani kuashiria maziko ya moja wa wanajeshi wa Zanzibar waliouliwa Darfur nchini Sudan
Viongozi na majeshi na rai wa nchi ya Zanzibar wakiwa katika makaburi ya mwanakwerekwe kusubiri mazisha ya kuwazika wanajeshi wawili wa hapa nchini kwetu Zanzibar waliouliwa Darfur nchini Sudan.
Dr Shein akitia mchanga katika kaburi moja la mwanajeshi wa yetu ya Zanzibar aliyeuliwa Durfur nchini Sudan
Jenerel wa nchi ya Zanzibar akitia mchanga katika kaburi moja la wanajeshi waliouliwa Darfur nchini Sudan
Dr Shein akitowa pole na kuwasalimu rai wa nchi ya Zanzibar kwa msiba wa wanajeshi wao waliouliwa Darfur nchini Sudan.
No comments:
Post a Comment