Tuesday, May 17, 2011

WANGAPI TUNAO WAHITAJI KUONGOZA ZANZIBAR YANYE WATU MILLIONI TU...?

tuliambiwa kuwa SMZ ni serekali ambayo imekuja kuwaondoleya umasikini wazanzibar na kuwaweka ktk maendeleyo na toka 1964 baada ya kuliwa wazanzibar wengi sana wazanzibar wameka na serekali ya SMZ na kusubiri maendeleyo mpaka leo hii ni 2011 na ndio kwanza hali ya maisha inazindi kuwa ngumu na umasikini kuongezeka na wazenji kuzidi kutofika na kuthofishwa na viongozi wa nchi yao ambao wengi wao wanajali matumbo yao na familiya zao maana siamini kuwa mtoto wa waziri znz atakuwa hana viatu au wambunge wa znz mwanawe awe hana viatu au spika wa baraza la wawakilishi kweli mtoto wake atakuwa hana viatu..?sasa serekali ya SMZ sio serekali ya kuteteya wanyonge bali ni kuwamaliza kabisa wanyonge hii video hapo juu ni znz na nitaweka picha za viongozi wa znz hapa chini kisha tuone kama wanafanana na hao watoto hapo juu na hizi picha hapa chini ndio wanaojita viongozi wa znz na wenyekuwaleteya maendeleyo je hebu angaliya hizi picha hapa chini kweli hawa viongozi hata wanahabari kweli wananchi wao vipi wanateseka huko njee sahau kuleta maendele kweli hata wanawajali wananchi wao hawa waone hapa chini picha nakuonyesha ujuwe kama viongozi wa znz ni wezi tu basi hakuna maendeleyo wala kuwatizama wananchi.

huyu ndiye spika wa baraza la wawakilishi je kweli anaonyesha kama kweli anawajali wananchi hebu muangaliye na hao mawaziri pia waone kisha angaliya video hapo juu ya watoto wa kizenji nchi yetu tunayoipenda wanatembeya bila ya viatu huyu kabebe rungu sijuwi lakazi gani kwanini lisiuzwe hilo rungu zikapatikana pesa wakanunuliwa watoto viatu....?

hawa wao wanasinziya tuu basi nchi masikini znz wanasema lakini wangaliye wao walivyovimba kama makobe au vyura ktk mto
kashika msahafu ana apaa ila nyumba anayoishi kajenga kwa pesa za wizi na sio yeye tu mawaziri wote na wabunge znz wanajenga kwa pesa za wizi na wananchi wanaumiya na njaa haya walikuwemo kama nyinyi humo barazani leo wamo makaburini wanaipata juto ya jiwe la baraza la wawakilishi.
haya sijuwi ndio anapishwa au vipi ila ona viongozi wa znz na ile video ya watoto pale juu kisha useme kweli hawa wanapingania maendeleyo ya watu wazanzibar au matumbo yao hebu angaliya hili baraza lilivyo safi mbona skuli haziko safi aaan nimekumbuka watoto wao hawasomi skuli hizo wanasomesha nje au pravet school sasa hao masikini na wabaki na skuli zao chafu au sioooo mawaziri...?
je hawa wote wanafanya nini humu ikiwa znz bado watoto wa skuli hawanahata viatu nini faida ya hawa kuja humu na faida hakuna ndio nikasema wanajinemesha wao na familiya zao na znz nchi inazidi kudidimiya kwa sababu ya hawa wanafiki waliyoja katika baraza la wawakilishi na hawana moja wanalolifanya zaidi ya kuiba na kuza kila kitu cha serekali
znz ilikuwa U.N. naleo tukowapi na hebu wananchi tujiulize hawa viongozi tunao wachanguwa wanafanya nini tusikae tu tukakubali kupewa kanga gora moja na panga basi ndio umechanguwe hebu angaliya nchi znz ilikuwa wapi na leo tuko wapi kisha jiulize sisemi kama tumechelewa ila mabadiliko yanataki sasa sio tena ati baada ya miaka 5 hapa hapa wazanzibar tuamkeni jamaa.
lipi wanalolifanya hawa mbona wengi humu ndani lakini znz haiendelei...?
daaah asante kwa haya maendeleyo munayotuleteya mawaziri wetu na viongozi kwa ujumla na picha za maendeleyo ya znz nitaziweka hapa chini ili waone kazi yao nzuri

kwali lakini au makazu tu ila ndani ya nyoyo zenu haaaaaa allah atakwenda wahukumu vibaya nyinyi wacheni wacheni wacheni allah akbari na munajuwa mumemiliki aridhi zisizo zenu,mariba munayokula,kuwawacha mayatima wakihaha,kuwaulisha watu kila wakati wa uchanguzi,kujifanya raisi au mbunge au muwakilishi hataka watu hawakukuchanguwa na mengine mengi kisha ati allah akbari kweli.....?

maendeleyo ya zenji hayoo nini ngoma

huyu anaka kikwajuni,malindi,shangani,muembe tanga,mshelishelini,au...?
tumeshindwa hata kujenga soko jipya hili to enzi za kaka mpaka leo
je hawa niwatali pia wanatokea chicago sio au...?

haya hawa ni wananchi wa znz je na wale viongozi pale juu au kweli utamini ni nchi moja..?


wananchi wa znz wakihaha kujitafutiya riziki na viongozi wanakula haramu tu
makopo ya rangi siku hizi bai gani..?
2011 sasa na haya ndio maendeleyo ya serekali ya SMZ toka 1964 mpaka 2011
maji machafu ktk ktk ya jiji ati ndio city center maendeleyo ya znz hayaa
znz ni nchi ya kwanza kuwa na stesheni yake ya tv ambayo ni TVZ kabla ya nchi nyengine yoyote ya east africa lajabu mpaka leo watu wa mjini hata sio mashamba mjini bado wanaangaliya TV CHINI YA MITI BARABARANI MAENDELEO HAYO YA ZANZIBAR 2011
wakina mama na wakina dada kidumu ili tupata ubale wa kanga za kijani na majano
mabaki ya mabomu ya machuzi na gasi yaliyotumiwa na jeshi la ffu
la mkoloni mweusi kuwapiga wananchi wasio na hatiya zanzibar

vikokotoni nyumba za watu binafsi na zimepakwa rangi
vikokotoni
hii ni moja ya ofisi za serekali hata rangi haipakwi imeka kama jumba la kuektiya filamu za kutishaa jinsi lilivyo chafu
Livingstone_House_Zanzibar_1997
mapaa pia yananguka viongozi wanasinziya baraza la wawakilishi

maendeleyo hayo ya zanzibar yanayoletwa na viongozi wetu

wachakuwapiga soga hebu wanunuliye viatu kwanza huwaoni miguu pekupeku

huu ndio ukombozi na maendeleyo ya znz kwa taifa la kesho

hawa ndio taifa la kesho wangaliye miguuni wote kanda mbili na mawaziri hapo juu wote mitumbo mikubwa

angaliya picha hii ya watu wa zanzibar utafikiri nchi iko ktk vita zaidi ya miaka 40 wakati nchi ina amani ila hakuna upendo wala umoja maana kungelikuwa na umoja na upendo viongozi wasingeliwawacha wananchi wakawa hivi kama waliyo tapikwa

watoto waskuli wanaka chini wakati mama zetu waliposoma wakika kwenye madeski je ndio maendeleyo ya zanzibar haya sio

maskini akijaribu kuwasaidiya watoto wa skuli na gari lake la punda kuwafikisha skuli je hii ni haki gari la punda na mawaziri na wabunge wanamagari 4 na 5 hawawezi kununuwa skuli buss kweli

serekali ya SMZ vipi mbona tunamayatima barabarani..?

mawaziri kibao na wabunge na nchi ndio kwanza inadidimiya hii ni barabara ya kwenda foro

jione mwenyewe jinsi wananchi walivyo jichokeya na wanavyochaka kabla ya umri wao

sasa muone ati raisi wa znz vingora vya polisi vingi nchi nzima inanuka na kuchakaa sibora tuwe hatuna raisi basi kama wasomali kuliko upumbavu huu

raisi umo ndani ya benzi je unawaona hawa watoto wa nchi yako..?

skuli ya tumekuja hata rangi basi raisi huwezi kusema ikapakwa..?

hivi ndio wabunge na wawakilishi wanavyo hakikisha wananchi hawapatwi na maradhi kweli lakini hebu angaliya hii picha nyinyi wabunge na wawakilishi
[SPA53933.jpg]
je nyinyi wabunge na wawakilishi na maraisi wake zenu wanapika chini kama huyu hapo znz kama ndio basi sawa la kama sio sasa nyinyi kweli ni viongozi wandilifu kweli..?

tulikuwa na trani toka enzi hizo sasa hata bara za kupita watu na magari hatuna tena znz maendeleyo hayo ya znz au sio

ngome kongwe ya enzi hizona jeshi la watu wa zanzibar mbona sasa hatuna jeshi...?

znz tulikuwa na pesa zetu wenyewe mbona sasa hatuna hata raisi maana shein akienda dar yeye ni kama waziri hana wizara vipi mambo haya znz inaelekeya wapi..?

1 comment:

  1. ah nchi inoendeshwa na madhalim utawala ulipatika lkn wakaona kwanza wakalipe kisasi kwa kuuwa watu na kuwadhulumu haki zao mnafikiri kuna maendeleo yatayopatikana? maaaawe

    ReplyDelete