Thursday, July 21, 2011

ASKARI WAKIKE WA TANGANYIKA MCHANA ASKARI USIKU NI PORNO STAR. HAHAHAA


PICHA za utupu za afande wa kike aliyetambuliwa kwa jina la Mary kutoka Kituo cha Polisi wilayani Nyamagana, jijini Mwanza zimedakwa.Picha hizo zinamuonesha afande huyo akiwa hana nguo zaidi ya ‘kijichupi na mashanga ya kiuno’ tu, amepozi juu ya kitanda huku akionekana kumkodolea mtu pembeni yake.

Baada ya kuzinasa picha hizo,Tulifanya uchunguzi kwa miezi kadhaa ili kujiridhisha pamoja na kumpata mhusika kuthibitisha kama pichaa hizo ni za kwake na alipiga kwa lengo gani.Hivi karibuni mwandishi wetu alimbamba askari huyo katikati ya Jiji la Mwanza akiwa ameongozana na mwanaume aliyemtambulisha kuwa ni mchumba wake. huyo aliposomewa mashitaka yake ikiwa ni pamoja na kuonyeshwa picha hizo, aligwaya na kuhoji jinsi zilivyopatikana huku akijaribu kukwepa tuhuma kwa kusema sura ni yake lakini kiwiliwili siyo chake hahahaha yeah right.Katika hali isiyotarajiwa huyo alipiga mkwara akidai kwamba, ishu hiyo inafahamika hata kwa wakubwa wake wa kazi, hivyo haimsumbui  wala kumpandisha mapigo ya moyo na kusisitiza atajiwe chanzo cha picha hizo kudakwa ni mambo ya kustajabisha kuwa askari wa nchi hii watapinga picha za uchi na wakubwa wanajuwa na haziwashtuwi daaaaaah nchi ya tanganyika tanganyika.Alipoelezwa kuwa ni kosa kwa mwandishi wa habari kutaja chanzo chake cha habari, ndipo alipokiri kuwa, picha hizo ni zake lakini akagoma kueleza alizipiga kwa lengo gani.Akionekana kuhamanika usoni na kukumbwa na taharuki, askari huyo alimsihi mwandishi kutozitumia gazetini picha hizo kwa kuwa zitamsababishia kufukuzwa kazi wakati anategemewa na familia kubwa swali kwanini hukufikiri hayo wakati huo kabla hujapinga hizo picha..?“Picha ni zangu kweli naomba unisaidie, zikitoka gazetini nitafukuzwa kazi, maana ninawasomesha wadogo zangu na wazazi wangu wananitegemea,” alilalama polisi huyu Mary.

huyu ni yeye akiwa na yunifomu zake za kazi yani polisi kubwa akisha kazi hii anakazi ya kuvuwa nguwa na kuwa uchi na kupingwa picha  haya sasa ni POLISI AU PORNO STAR..?Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Simon Sirro, alipoulizwa kuhusiana na askari wake kupiga picha za utupu alionesha kushtushwa, akasema ikibainika ni kweli afande huyo atachukuliwa hatua za kinidhamu.“Kama ni kweli kapiga picha za utupu, hiyo ni kinyume cha maadili, askari anapaswa kuwa mfano kwenye nidhamu, ikithibitika tutamchukulia hatua za kinidhamu,” alisema Kamanda Sirro.
SAWA PICHA ZAKE HIZI HAPA JE IMETHIBITIKA AU LAA..?JE HATUWA ZA KINITHAMU NI ZIPI.?KUONYWA ASIRUDIYE TENA..?KUFUKUZWA KAZI..?AU NA WEWE UTAMTAFUNA PIA KISHA ATAENDELEYA NA KAZI MAANA HAYA TUSHAWAHI KUYASIKIYA KUWA MAJESHI NA POLISI WANAWAKE NI VYAKULA VYA MAKAMANDA NA MAJENERALI NA KATHALIKA NA PIA HATUJAWA NA USHAHIDI HUO ILA IKO SIKU TUTAWATIA MKONONI.NA Z;BAR NDIO HATUTAKI MUUNGANO MAANA TUNAJUWA ASKARI WAKIBARA WANAOLETWA Z;BAR WANAWAKE NI ASKARI MCHANA USIKU NI MALAYAA NA WANAUME ASKARI WAKIBARA WANAOLETWA Z;BAR MCHANA ASKARI USIKU MAJAMBAZI HATUTAKI TENA MUUNGANO NA NYINYI Z;BAR NI NCHI NAITAENDELE KUWA NCHI MUKITAKA MUSITAKE HATUTAKI MUUNGANO NA WATANGANYIKA TENA

3 comments: